Friday, 14 June 2013

Kenya yaongoza bajeti EAC, Rwanda na Uganda nao wamo

 
Bajeti : Ushuru wapiga hodi kwa watumiaji fedha kwa simu,ahueni kwa wamiliki wa bodaboda, Kenya yaongoza ukanda EAC

Bajeti : Ushuru wapiga hodi kwa watumiaji fedha kwa simu,ahueni kwa wamiliki wa bodaboda, Kenya yaongoza ukanda EAC

Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa akiingia bungeni Dodoma jana kusoma hotuba ya Bajeti. Picha na Fidelis Felix. 
Na Waandishi Wetu, Mwananchi  (email the author)

Posted  Ijumaa,Juni14  2013  saa 8:57 AM
 
Dar na Dodoma:  Serikali jana ilitangaza Bajeti yake kuu kwa mwaka wa fedha 2013/14 ambayo inaashiria machungu kutokana na ongezeko la kodi na ushuru katika baadhi ya bidhaa, zikiwamo mafuta, soda, vinywaji vikali pamoja na leseni za magari.

Thursday, 13 June 2013

So Lovely, so excited. Thanks for following us, continue being with us

 
Entry               Page views
Norway
245
Tanzania
104
United States
50
Germany
25
United Kingdom
15
Japan
5
France
4
Ireland
4
Sudan
4
Brazil
3

Wasanii wa Tanzania Waliotutoka kwa mwaka 2012/ 2013. Mungu zilaze roho zao mahali pema peponi


 




                            
                                                          

                                                          
         
                  

Masoud Kipanya na vikatuni vyake

  http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1880152/highRes/526418/-/13c9qt9/-/kp12062013.jpg

Wednesday, 12 June 2013

NEW PICTURE SLIDE

Kutokana na malalamiko yaliyokuwepo hapo awali video ya picha hizi imekuwa edited tena. Video hii haipatikani youtube tena na inabaki kuwa mali ya TASAO. Unaruhusiwa kuinakili kwa ajili ya kumbukumbu zako binafsi ila si kwa ajilli ya kuiweka public. Asante.




PRO

Lady Jay Dee- Yahaya



kagasheki auliza unatetea vipi kontena lenye meno ya ndovu na origin yake ni dar?

Picture
Waziri Khamis Kaghasheki kwenye video iiyopachikwa hapo chini, anasema na kuhoji:

Unaieleza vipi, na unatetea vipi, kontena lenye meno ya ndovu, wanakwambia kwamba origin yake ni bandari ya Dar es Salaam. Pale bandarini, kuna vyombo mbalimbali --kuna polisi, kuna customs TRA, kuna watu wa pori wenyewe, kuna watu wa usalama, na kadhalika -- kontena linatoka na meno ya ndovu, linakwenda kukamatiwa Hong Kong, linakwenda kukamatiwa Philippines, linakwenda kukamatiwa Vietnam. Kama yapo masuala ya msingi jamani tujiulize, kontena linatokaje? Utaratibu ni upi wa kontena kutoka nchini? Tusaidiane. It is risky, kuna pesa nyingi, lakini some people inabidi wafanye wanavyo weza kufanya for the future of the country lakini pia vizazi vijavyo, vitatuhukumu kwa...

Bofya link hapoo chini yenye video umsikilize

Source: http://www.wavuti.com/4/post/2013/06/kagasheki-auliza-unatetea-vipi-kontena-lenye-meno-ya-ndovu-na-origin-yake-ni-dar.html#ixzz2VyomHI8b

Lwakatare apata dhamana, Ludovick aendelea kusota Mahabusu.



Kwa ufupi
Hakimu huyo pia aliwataka washtakiwa kusalimisha hati zao za kusafiria mahakamani na kutokutoka nje ya Dar es Salaam bila ya kuwa na kibali cha Mahakama.
 
 
 Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare (mbele) akisindikizwa na wafuasi wa chama hicho kutoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam jana baada ya kuachiwa kwa dhamana. Picha na Venance Nestory

Hali ya Mzee Mandela ni tete, wasiwasi watanda, familia yake yaanza kurejea Afrika kusini


Posted  Jumanne,Juni11  2013  saa 21:32 PM
Kwa ufupi
  • Mwanaye wa kwanza, Zenani Mandela-Dlamini ambaye ni Balozi wa Afrika Kusini nchini Argentina amewasili Pretoria kufuatilia hali ya baba yake aliyelazwa hospitali Jumamosi iliyopita.

CCM yakataa Muundo wa serikali tatu


Kwa ufupi
Habari ambazo gazeti hili ilizipata zinasema katika kikao hicho cha CC kulijitokeza hofu ya suala la wananchi kuwa na mamlaka ya kuwang’oa wabunge ikiwa hawatatekeleza masilahi yao na kwamba pendekezo hilo lina upungufu kwani halitafsiri masilahi hayo ni yapi.
 
 

Tuesday, 11 June 2013

Hatimaye Mkurugenzi wa usalama na ulinzi Nd. W. Lwakatare CHADEMA kupata dhamana leo

Hatimaye Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Muganyizi Lwakatare leo atapata dhamana na kurudi uraiani, baada ya Mahakama ya Kisutu kuamua kuwa dhamana yake iko wazi na sasa masharti tu ndiyo yanakamilishwa.

Mkurugenzi wa Habari wa CHADEMA, Tumaini Makene anadai jaribio la watawala kwa kutumia vyombo vya dola, kutaka kukichafua kwa kukipaka matope ya ugaidi na mauaji chama chao limeshindwa vibaya.
 Hatimaye Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Kamanda Wilfred Muganyizi Lwakatare 'Lwaks' leo atapata dhamana na kurudi uraiani, baada ya Mahakama ya Kisutu kuamua kuwa dhamana yake iko wazi na sasa masharti tu ndiyo yanakamilishwa.

Lwakatare anapata dhamana, huku jaribio la watawala kwa kutumia vyombo vya dola, kutaka kukichafua kwa kukipaka matope ya ugaidi na mauaji CHADEMA likiwa limeshindwa vibaya.

It's has been a battle, very seriuos battle, legally and politically, of almost three months. Bungeni, kwenye majukwaa ya siasa na mahakamani. Fighting for justice, hopes and dignity of being.

And the battle still goes on. Aluta continua.

Mapambano yataendelea kwa sababu sasa tunaanza kuamini kuwa akina Hitler, Botha na wengine wa namna hiyo bado wanaishi kwa namna nyingine, kupitia baadhi ya watu waliokabidhiwa madaraka ya kuongoza lakini wameamua kutawala.

Usikubali kufumbia macho uonevu wowote, mahali popote, kwa mtu yeyote. Ukikaa kimya leo, akina Hitler wetu hawa wa zamu zetu, watakapokufikia wakati wa 'zamu' yako hakutakuwa na mtu wa kukusemea.

Ni muhimu makamanda wasimame kwenye haki, utu, upendo, kweli na matumaini kwa ajili ya Watanzania hawa wanyonge. Mengine yote yatafuata.

Asanteni kwa kuonesha nguvu ya umma (people's power) kwa kufuatilia suala hili tangu siku ya kwanza na hadi litakapofika mwisho kwa namna nyingine linavyoendelea sasa mahakamani.

Tunaanza Mungu, tunaendelea Mungu, tutamaliza na Mungu...
 Makene.
 
Imenukuliwaa kutoka: www.jamiiforum.com
 
 

Marekani yataja sababu nne za Obama kuja Tz


Kwa ufupi
Alisema kuwa Tanzania ni nchi ya mfano linapokuja suala la uongozi bora na ndiyo maana imekuwa na amani na utulivu kwa muda mrefu ikilinganishwa na nchi nyingi za Kusini mwa Jangwa la Sahara.Dar es Salaam. Marekani imetaja sababu nne ambazo zimemfanya Rais Barrack Obama kuijumuisha Tanzania katika ziara yake ya bara la Afrika.



Sunday, 9 June 2013

SPEECH BY Dr. A. Lwaitama


NAFASI YA VIJANA WASOMI WA TANZANIA NA KATIBA MPYA (RASIMU YA KATIBA) KWENYE MAENDELEO YA TANZANIA
Na Mwalimu Azaveli Lwaitama
+255784432696

Ndugu Watanzania mliokusanyika hapa Oslo leo
Ndugu marafiki wa Wantanzania mlipo katika sherehe hii,
Kwanza naomba niwashukuru kwa kunipa mwaliko wakuhudhuria sherehe yenu bila kuchangia chochote.  Nasikitika na naomba kusamehewa kwa kukosa kuwepo uso kwa uso ingawa hotuba hii inawaonesha nipo nanyi kiroho.  Nasikitika kukosa kuwepo uso kwa uso maana niliambiwa kutakuwepo chakula kingi na vinyaji vya kutosha na mimi kwa msosi ndio mwenyewe, bia  na mvinyo  pia nakunywa ingawa hulewa mapema na kuanza kusinzisinzia.

TASAO PARTY 2013 VIDEO

VIDEO HII IMEONDOLEWA
ITARUDISHWA BAADA YA MAREKEBISHO
NASHUKURU
PRO

GALLERY : TASAO PARTY 2013


Thursday, 6 June 2013

OAU 50 years on: Ambitious dreams, painful realities

IDPs wait for food at a camp in Mugunga, 15km from Goma, DR Congo, on May 25, as the AU celebrated its 50th anniversary. The Union is divided on how to end conflicts in Africa. Photo/AFP

Home News News Why Obama chose Tanzania for his Africa tour

In Summary

Spika ampandishia Mbatia kwa kutamka ‘ sumu’





Rasimu ya katiba mpya yavuruga mbio za wanasiasa kuwania Urais 2015

 
Dar es Salaam/Dodoma: Mapendekezo yaliyotolewa katika Rasimu ya Katiba Mpya na Tume ya Marekebisho ya Katiba yamewavuruga wanasiasa ambao tayari walikuwa wamejipanga kwa ajili ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, Mwananchi limebaini.