
Hawa ni mwenyekiti na katibu wa TASAO, bwana John na bi Alice. waheshimiwa hawa wanastahili pongezi kwa kazi kubwa wanayofanya kwa TASAO. watakuwepo madarakani mpaka hapo mkutano mkuu utakapo wachagua m/kiti na katibu kwa mujibu wa katiba iliyopitishwa na mkutano mkuu wa leo. hii ni dondoo tu, habari kamili itatolewa na katibu. anayewaletea dondoo hizi ni Joshua.