Saturday 3 February 2007

MWANZO MZURI

Hawa ni mwenyekiti na katibu wa TASAO, bwana John na bi Alice. waheshimiwa hawa wanastahili pongezi kwa kazi kubwa wanayofanya kwa TASAO. watakuwepo madarakani mpaka hapo mkutano mkuu utakapo wachagua m/kiti na katibu kwa mujibu wa katiba iliyopitishwa na mkutano mkuu wa leo. hii ni dondoo tu, habari kamili itatolewa na katibu. anayewaletea dondoo hizi ni Joshua.