KARIBUNI NYOTE KWENYE UKURASA MTANDAO WA WANAFUNZI WATANZANIA WANAOISHI OSLO NCHINI NORWAY.JISIKIE HURU KUTOA MAONI YAKO KWA MAENDELEO YA UMOJA HUU.
"WE BELIEVE IN SOLIDARITY AND THAT'S WHY WE ADVOCATE THE UBUNTU IDEOLOGY. "the belief in a universal bond of sharing that connects all humanity".
Tuesday, 22 June 2010
Tafriya ya kuwaaga wana-TASAO waliohitimu masomo yao May 2010
4
comments:
Anonymous
said...
Ama Hakika nimefurahi kuwaona Tasao mmeanza tena kublog,na for sure Graduation ilipendeza saaaaaana.Hongera sana pamoja Daima!
Huu ni mwanzo mwingine mpya mzuri na wenye muelekeo wa kimaendeleo. Songeni mbele wakuu ngoma ndo inogile sasa, msiweke silaha chini mpaka kieleweke. Wakuu Cyprian Hilinti, Mangi na Dada Paulina vipi jamani, ndo kusema kuku Horns wameanza kujibu au kuna kingine??? Maana naona shavu kama dodo vile!!!! JOHN
4 comments:
Ama Hakika nimefurahi kuwaona Tasao mmeanza tena kublog,na for sure Graduation ilipendeza saaaaaana.Hongera sana pamoja Daima!
nami naunga mkono, hongera mnaoendelea kuifufua. Tusonge mbele kwa pamoja
Baab Kubwa, Kazi nzuri Bi President Cathy na wana TASAO wote.
Huu ni mwanzo mwingine mpya mzuri na wenye muelekeo wa kimaendeleo. Songeni mbele wakuu ngoma ndo inogile sasa, msiweke silaha chini mpaka kieleweke. Wakuu Cyprian Hilinti, Mangi na Dada Paulina vipi jamani, ndo kusema kuku Horns wameanza kujibu au kuna kingine??? Maana naona shavu kama dodo vile!!!! JOHN
Post a Comment