Na Mwandishi wetu.
Julai 23,2013.
Jana, Rais J. Kkikwete alikutana na viongozi wa chama cha makampuni ya simu na kuzungumza kwa kina juu ya pendekezo la simu kadi. Pendekezo hili limezua gumzo na sintofahamu miongoni mwa wananchi wengi na wengi wao wakiwa wa kipatao cha chini.
Inaonekana serikali inaelekea kushindwa kutetea hoja yake ya kuanzisha kodi hiyo. Ina imeripotiwa kuwa Raisi ametoa wito wa wadau wote kuliangalia upya swala hili kwa upana na kwa haraka.
PICHA NA IKULU