-
museveni aendelee na juhudi zake kama kawaida na mimi kimsingi nadhani kila kiongozi katika EAC,anao uhuru wa kutoa mawazo yake na yanaweza kukubaliwa ama kukataliwa na yeyote,so nampongeza Kagame kama ameona kuukataa ushauri wa Kikwete una tija yoyote kwake na nchi yake na pia sio lazima ukakubali ushauri wa kila mtu coz hata Nyerere aliwahi kusema wazizwazi kuwa hampendi Idd Amin na huo ndo ulikuwa msimamo na mtizamo wake,however Kikwete anaweza kuendelea kutoa ushauri kwa watu but lazima aangalie anautolea wapi na mazingira gani na pia ni ushauri wa aina gani anutoa.
TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO