Wednesday 30 October 2013

Pres. Kikwete

Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na wafanyakazi wa Swissport katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, wakati akielekea kupanda ndege kwenda London, Uingereza, kwa ziara ya kikazi ya siku nne juzi jioni. Kulia kwake ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe na Meneja wa Shirika la Ndege la Emirates uwanjani hapo, Aboubakar Jumaa.