HABARI
ZA JIONI WATANZANIA WENZANGU, KUTOKANA NA KUWA NIMEKUWA NIKISEMWA SANA,
MANENO MENGI YASIO NA TIJA JUU YA HILI TAJI LA UMISS TANZANIA
2014,,,MPAKA KUPELEKEA NISIWE NA AMANI
NA UHURU NDANI YA NCHI YANGU TANZANIA, KWA ROHO SAFI NIMEAMUA MWENYEWE
KUJIVUA TAJI HILO NA KUACHA WANAYE ONA ANASTAHILI TAJI HILI APEWE ILI
NIENDELEE NA MAISHA YANGU KWA AMANI ,ISIWE SHIDA SANA KWANI SITEGEMEI
TAJI HILI ILI KUISHI!!
Thea
(12) is Norway’s first child bride. The young girl will walk down the
aisle on Saturday October 11, to meet her 37 years old husband to be.
Being Norway’s first official child wedding, the event has sparked an
outcry of reactions from the public.
“Hey! My name is Thea and I’m 12 years old. I am getting married in one month!”.
As all Tanzanians know, on Thursday
last week, the Constituent Assembly (CA) apparently voted in favour of a
draft constitution, which will be presented before Tanzanians in a
referendum—we are now told will be held before the next General
Election.
Alisema viongozi wa Ukawa wamekuwa wakiwatukana
waasisi wa Muungano; Mwalimu Julius Nyerere na Shekh Abeid Karume hata
nje ya Bunge ambako hawana kinga.
MAONI YA WAJUMBE WALIO WA WACHACHE KATIKA KAMATI NAMBA NNE KUHUSU SURA
YA KWANZA NA SURA YA SITA YA RASIMU YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA
TANZANIA [Kanuni ya 32(4) ya Kanuni za Bunge Maalum, 2014]
Neno mkanyinko utumika mara kwa mara, lakini je umewahi kuwa na mkanganyiko juu ya jambo lolote? Vipi kuhusu MH 370? Sasa ni dhahili kuwa kupotea Kwa ndege ya MH370 ya huko nchini Malyasia inazidi kulete mkanganyiko mbaya zaidi kuwahi kutokea katika ajali za ndege tokea huko nyuma.
Tatizo la Upatikanaji wa Maji
safi na salama nchini Tanzania ni moja ya mada zinazojadiliwa sana punde
zinaposikika katika Makala ya Haba na Haba redioni.
Hii ni kutokana na ukweli kwamba maji ni bidhaa
adhimu kwa maisha ya binadamu na upatikanaji wake imekuwa ni shida kwa
maeneo mengi nchini humo.
Haba na Haba Tv ilisafiri mpaka mkoani Tanga
wilayani pangani kuona namna wananchi wa huko wanavyohangaika kila
kuchao kutafuta maji.
DOHA:
Qatar has reportedly purchased the human rights organisation Amnesty
International, less than a day after it published a damning report into
the country’s construction sector as work begins on stadiums for the
2022 World Cup.
While financial details of the deal have not been revealed, experts
have suggested that move is an economically shrewd one by the gas-rich
Gulf state.
By BEATRICE MOSES for The Citizen | Tuesday, November 19
2013 at
07:49
Tanzania President Jakaya Kikwete (centre) smiles as he sits among other
Commonwealth heads of state before a working session at the
Commonwealth Heads of Government Meeting (CHOGM) in Colombo on November
16, 2013. Tanzania has been urged to speed up its fight against mega
corruption. PHOTO | AFP
We
cannot deny that there are some fundamental differences between men and
women – from how we are socialized to the chemical and hormonal
differences that naturally occur. Thus, I thought it appropriate to
write this post on the differences between dating a girl vs a woman.
Many points on this post would apply if you switched the genders around.
Libya's army is deploying on the streets of Tripoli in an effort to
wrestle back control of events that spiralled out of control and into
violence over the weekend. An uneasy calm has settled over the city.
As the country prepares for funerals and burial of
the late Dr Sengondo Mvungi this weekend up to Monday, the rest of us
are locked in reflection on his life and career, to discover how rich it
was and the gap that remains.
Nape licha ya kukiandama Chadama alisikitika hakuna waziri wa kilimo aliyewahi kwenda mkoani Ruvuma.
Songea. Katibu wa Itikadi na
Uenezi wa CCM, Nape Nauye amemtaka Msajili wa Vyama vya Siasa nchini
kukifuta Chadema kwa madai kuwa, kimeshindwa kusimamia katiba yake kwa
kutofanya uchaguzi wa ndani zaidi ya miaka zaidi ya kumi.
WAKATI hatima ya kutiwa saini mkataba wa amani kati ya Serikali ya DRC
na waasi waliosambaratishwa wa M23 ikiwa haijulikana, uhusiano wa
maswahiba wawili wa eneo la Maziwa Makuu, Rais Yoweri Museveni wa Uganda
na Paul Kagame wa Rwanda umetikisika baada ya Museveni kumtaka mwenzake
huyo azungumze na waasi. Ni ushauri kama huo aliopewa Kagame Mei
mwaka huu na Rais Jakaya Kikwete ukilenga kuleta na kuimarisha amani
Mashariki mwa Congo ndio ulioyumbisha uhusiano kati ya Tanzania na
Rwanda, kabla ya Kikwete kuifafanua na kisha kukutana na Kagame jijini
Kampala, Uganda Agosti mwaka huu.
Kapuya Matatani: Adhibitiwa na kitoto kinachodai alikibaka, akakiambukiza virus
MBUNGE wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya (CCM), ameingia katika
matata. Katika kujaribu kudhibiti mtoto wa shule ambaye anadai alibakwa
naye na kuambukiwa virusi vya ukimwi, mbunge huyo ametoa vitisho vya
kuua mtoto huyo na kujiua kama njia ya kuepuka dhahama inayoelekea
kumkabili.
*Dk. Nchimbi atangaza kuundwa kwa divisheni mpy aya uhalifu MATUKIO
ya kutekwa na kujeruhiwa, Dk. Sengondo Mvungi, Absalom Kibanda naDk.
Stephen Ulimboka, yamelazimisha Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuunda
Divisheni mpya ya Kiitelejensia.
MAJESHI ya Umoja wa Mataifa (UN) na brigedi maalumu ya majeshi ya
Afrika yanasubiri amri ya kuanza kuvishambulia vikosi vya jeshi la
msituni vya Allied Democratic Forces (ADF)) cha Uganda na kile cha
Democratic Forces for the Liberation of (FDLR) cha Rwanda ambavyo
vimekua vikifanya mashambulio kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya
Kongo (DRC).
Akizungumza kwa niaba ya familia ya Samizi
nyumbani kwake, Tegeta Dar es Salaam, Katibu Mkuu msataafu wa CCM, Yusuf
Makamba alisema maziko yatafanyika leo baada ya swala ya adhuhuri.
Dar es Salaam.
Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kuongoza maziko ya Mkuu wa zamani wa
Wilaya mbalimbali nchini, Mussa Samizi aliyefariki Dar es Salaam, juzi.