“Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete
aliwahakikishia Watanzania wote, narudia wote, uhuru wa kutoa maoni kwa
upeo wao, na waseme wanachotaka kukisema, Mwenyekiti wa Tume ya
Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba vile vile naye akarejea yale yale
aliyosema Kikwete
TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO TASAO
Thursday, 5 September 2013
RC amsaidia mwandishi
Kwa ufupi
Huyu mwandishi alifika ofisini akanieleza shida
yake na nimempa haya mabati kama mwananchi wa kawaida wa Kisarawe na
mkazi wa mkoa wangu huu, si kama mwanahabari.Serikali iboreshe sekta ya usafirishaji?
Kwa ufupi
Upande wa barabara nako kuna matatizo yake
lukuki, imaelezwa kuwa barabara za Tanzania zina vizuizi vingi kiasi cha
kuwakwaza wasafirishaji wa mizigo wa ndani na nje ya nchi.Mnigeria adakwa na dawa za kulevya Dar es Salaam
“Baada ya kumhoji ametueleza kuwa dawa hizo alizinunua maeneo ya
Magomeni, kwa sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya
uchunguzi na mahojiano zaidi.”
Clemence Jingu
Wabunge wa Chadema, NCCR-Mageuzi na CUF watoka nje
Wabunge wa Vyama vya CUF, NCCR-Mageuzi, na Chadema wakitoka nje ya
ukumbi wa Bunge kupinga muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko
ya Katiba bungeni dodoma jana.
Wednesday, 4 September 2013
Diwani wa CCM atishia kujiuzulu nafasi yake
Kwa ufupi
Diwani huyo bila kutafuna maneno alisema licha ya
wagonjwa hao kuchangia fedha hizo, huambiwa na mganga huyo kwamba dawa
hazipo na kuwaagiza waende kununua kwenye maduka ya watu binafsi.
Tuzibe nyufa zote kujenga EAC imara
Posted Jumanne,Septemba3 2013 saa 21:4 PM
Kwa ufupi
Wazo hilo la Mbunge Peter Mathuki kutoka Kenya
aliungwa mkono na wabunge wote kutoka Rwanda na baadhi kutoka Kenya,
Uganda na Burundi.Waliosoma Weruweru watamba kutoa rais wa kwanza nchini
Kwa ufupi
Weruweru ilijizolea umaarufu kutokana na kutoa
elimu bora kwa wasichana ambao wameweza kuendelea hadi kufikia kuwa
viongozi, kama Dk Asharose Migiro ambaye alikuwa ni mwanamke wa kwanza
kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.Ada za magari kulipwa kwa M-pesa
Na Newstar Rwechungura na Benjamini Mwangoka
(email the author)
Posted Jumanne,Septemba3 2013 saa 21:12 PM
Posted Jumanne,Septemba3 2013 saa 21:12 PM
Kwa ufupi
Kwa upande wake,Mkurugenzi wa Huduma na Elimu
kwa Mlipakodi wa TRA, Richard Kayombo alisema M-pesa imeleta urahisi
zaidi kwa mamlaka ya mapato katika ukusanyaji wa ada za magari.Kiongozi wa Uamsho mahututi Zanzibar
Kwa ufupi
Hata hivyo, Wakili Abdallah alisema, mteja wake
Azzan anasumbuliwa na matatizo katika kibofu cha mkojo kutokana na kuwa
na vijiwe ambapo alitakiwa kutibiwa nchini India na Afrika Kusini.Kibanda, Mwigamba wajitetea
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited
(MCL), Tido Mhando (katikati), akifurahia jambo na Meneja Uendelezaji
Biashara, Theophil Makunga na Mwanasheria MCL, Doris Marealle nje ya
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana, kabla ya kuanza kwa
kesi ya uchochezi inayomkabili Makunga na wenzake wawili. Picha na
Venance Nestory,
Rumors on Kagame*s Millitary life
Paul Kagame: Tanzania's own spy
Tanzania trained him to be a world class spy, why is he turning against his mentor!? If there are misunderstandings, why cant diplomacy take the first course??
‘Mvua za Lowassa’ zagonganisha mawaziri
Kwa ufupi
Malumbano hayo yalisababishwa na swali la
nyongeza la Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Susan Lyimo ambaye alihoji
mpango wa kutengeneza mvua ulipoishia kwa kuwa Serikali imekuwa kimya.Wabunge Z’bar wakwamisha Muswada wa kura za Maoni
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk Terezya Huviza
akijibu swali bungeni
Gambian women fleeing female genital mutilation threat
Some 80% of women in The Gambia undergo female genital mutilation
Rwandan genocide survivor speaks at Mount Carmel Academy in New Orleans
Immaculee Ilibagiza is greeted by St. Katherine Drexel's
Unity Society, seniors Janae Hurst, Jada Clark and Ayana Lindsey, at her
welcoming reception at Mount Carmel Academy in New Orleans.
Cleveland rapist found hanged in US jail
|
Castro, a onetime school bus driver, subjected three women to years of sexual and physical abuse [Reuters] |
Tuesday, 3 September 2013
Promota wa ngumi akamatwa
Kwa ufupi
Msangi alikamatwa juzi mchana kwenye Mgahawa wa
Didi’s, Masaki Dar es Salaam baada ya chanzo kimojawapo cha habari
kueleza kuwepo kwa promota huyo katika mgahawa huo.Miswada ya Katiba ‘kulipua’ Bunge kesho
Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali akichangia mjadala wa kupitisha
makadirio na matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka wa
fedha 2013/14, mjini Dodoma jana
Mabosi wanavyotumia vyeo kulazimisha ngono
Mikao kama hii huchangia hamasa ya ngono sehemu za kazi. Picha ya Maktaba.
Na Waandishi wetu, Mwananchi
(email the author)
Mwenyekiti UVCCM anusurika kung'olewa
Mwenyekiti wa Umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Sadifa Juma
akizungumza katika mkutano wa umoja huo mjini Zanzibar.Wengine ni
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Ali Seif Iddi na Katibu Mkuu
wa CCM, Adulrahman Kinana. Picha ya CCM
Na Waandishi Wetu
(email the author)
Daughter of Libya's former spy chief Senussi kidnapped
Abdullah al-Senussi is in jail awaiting trial for crimes committed in the Gaddafi era
Ethiopia denies crackdown on Semayawi opposition
Some 1,500 people attended the pro-government rally against extremism
UN refugee agency says more than 2m have fled Syria
Jeremy Bowen reports from Damascus where many people are displaced
Hundreds bid tearful farewell to fallen soldier
A son of Major Khatib Mshindo weeps beside the coffin bearing his
father’s body at Lugalo Military Hospital in Dar es Salaam yesterday.
Hundreds of people paid their last respects to the fallen soldier, who
was killed in eastern DRC last week
Russian man convicted over illegal chemicals
In Summary
The accused committed the offence contrary to
section 59(1)b and 2(b) of Industrial and Consumer Chemicals Management
and Control Act of 2003,” Mwangamila told the Court.How much Europe is too much Europe?
In Summary
No less a European stateswoman than Merkel
invited Cameron for private talks in April and said afterwards she
agreed with many of his ideas for reforming the union.Youth must understand nation’s future is theirs
Posted Monday, September 2 2013 at 22:36
In Summary
Educational institutions, the media, families,
civic and religious organisations are key standardising agencies that
can also be put to use in pushing for the attainment of this maturity.Marcus Garvey: Megalomaniac or ‘capitalist nigger’? – Part 2
We continue with the legacy Marcus left as an
individual, an organisational person and a leader of African people as
analysed by my Comrade and Brother Amos N. Wilson (RIP); author of
Blueprint for Black Power, and many other followers of this giant of a
man! Was he megalomania or a true capitalist nigger?
I shouldn’t have saved Museveni’s life, says Besigye
Busiro East MP Medard Sseggona (centre) argues with a police officer
after the Force attempted to stop Dr Besigye from addressing a rally in
Masaka on Friday.
Tanzania position in regional grouping secure, says EAC
By Zephania Ubwani, The Citizen Bureau Chief
(email the author)
Posted Saturday, August 31 2013 at 23:35
Posted Saturday, August 31 2013 at 23:35
In Summary
Secretary general Richard Sezibera maintained that
such initiatives not involving EAC directly were not likely to weaken
the regional organisation or its programmes.
Man swallowed Sh76m cocaine haul, court told
Pedro Alfredo Chongo hides his face under a scarf as he is escorted out
of the High Court in Dar es Salaam yesterday after the drug trafficking
case against him was adjourned.PHOTO | VENANCE NESTORY
Monday, 2 September 2013
Egypt to try ex-President Morsi for inciting murder
The date for Mr Morsi's trial has not been announced
M23 opt for ceasefire, ready for peace talks
Congolese soldiers celebrate after winning a Kibati village during their
battle with M23 rebels outside Goma. Democratic Republic of Congoâs
M23 rebels suspended fighting and withdrew from the frontline on Friday
to allow an independent investigation into shelling that hit
neighbouring Rwanda.
What next for Mandela?
Nelson Mandela is back at home after almost three months in hospital PHOTO | FILE
Uvimbe katika mfuko wa uzazi (1)
Posted
Jumapili,Septemba1
2013
saa
14:0 PM
Kwa ufupi
Tafiti nyingi zinaonyesha wanawake wa asili ya Kiafrika wanapata zaidi tatizo hili kuliko wazungu.Yanayomkuta Bo Xilai nchini China yanakumbusha ya Jiang Qing
Posted
Jumapili,Septemba1
2013
saa
14:15 PM
Kwa ufupi
Ilichukua miaka minne kwa kundi hilo kufikishwa
mahakamani. Lakini kwa Wachina muda huo haukuwa tatizo kwani kiu yao
ilikuwa ni kujua ukweli katika hilo.Pato la taifa laongezeka
Kwa ufupi
Mkurugenzi wa Uchumi katika Ofisi ya Taifa ya Takwimu, sekta zote za kiuchumi zimefanya vizuri isipokuwa ya madini.
Ustawi wa kila mtoto ni muhimu kwa taifa(2)
Posted Jumapili,Septemba1 2013 saa 14:11 PM
Kwa ufupi
Kwa ufupi, ili mtoto aishi na baba na mama yake,
lazima kila aliye mzazi atambue kuwa bila mwenzi wake, mtoto
asingepatikana, hivyo awe tayari kumwezesha mtoto kuishi karibu, hata
kama siyo pamoja na mzazi wake mwingine.
mwingine hawezi kunimiliki zaidi ya kaka yangu
Kwa ufupi
Licha ya kuwepo katika kundi hilo, msanii huyo
amepewa uhuru wa kufanya kazi zake binafsi na hivi sasa ameonyesha
kufanya kazi nzuri inayopendwa na wengi, hasa anapokuwa katika majukwaa.‘Wajanja wanatorosha Dola 2 bilioni
Kwa ufupi
Zitto alitoa taarifa hiyo jana, wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini Arusha.
Pacha aliyetenganishwa MOI sasa aanza kunyonya
Kwa ufupi
Pacha huyo alizaliwa Agosti 18 Zanzibar akiwa ameungana na kiwiliwili na baadaye alihamishiwa Muhimbili.
Wataka Zanzibar ijitegemee kila kitu
Kwa ufupi
Ni kamati ya maridhiano ya kina Hassan Nassor Moyo, Mansour na Ismail Jussa.Wataka iwe na sarafu yake, mambo ya nje na uhamiaji, isajili vyama vyake vya siasa Sunday, 1 September 2013
Rwandan troops cross border into DR Congo territory
Rwandan troops leaving Kigali few days ago, on their way to DR Congo border
Subscribe to:
Posts (Atom)
